Learn Swahili | SwahiliPod101.com

Advanced Audio Blog S2 #11 - Top 10 Popular Kenyan Novels - My Life in Prison


Listen Later

Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!
-------Lesson Dialog-------
----Formal ----
MAISHA YANGU GEREZANI
Kitabu hiki kimeandikwa na John Kiriamiti aliyezaliwa tarehe 14 Februari mwaka wa 1950 Murang'a, nchi Kenya.
Alikamatwa na kupelekwa gerezani kwa miaka ishirini ambapo aliweza kuandika riwaya zake zinazo tambulika.
Riwaya hii inaanza na Jack Zollo anapowasili katika Mahakama ya sheria ya Nairobi ambapo alihukumiwa kifungu cha miaka ishirini gerezani na mijeledi arobaini na nne.
Jack anaudhika zaidi kwa muhula aliopewa huko jelani kiasi kuwa anazua vurugu nakuanza vita na askari wa jela na pia na wafungwa wenzake.
Anajifanya kana kwamba yeye ni mwenda wazimu ambapo analazwa katika taasisi ya akili kwa sababu ya ile hali yake ya wazimu na baadaye anatoroka kutoka kwa hospitali ya akili ya Mathare.
Hata hivyo, uhuru wake unadumu masaa kidogo tu ambapo anakamatwa tena na kurudishwa gerezani.
Jambo hili halimvunji moyo Jack Zollo ilhali anajitia moyo kuishi maisha magumu jelani anapokula kiazi kimoja kwa siku.
Jelani, Zollo anasimulia vituko vyake na vile mara kwa mara alivyokuwa kwenye vita na mawakala wa nchi na vile alivyoshinda jiji.
Ingawa mjini inambidi atoroke mara kwa mara maajenti wa sheria na wa amani ili aweze kuepuka kurushwa gerezani,
Zollo anaonekana mwenye kusherehekea maisha mazuri jelani na kuamua kuendelea kuishi pale gerezani licha ya ugumu.
Ana kuwa mashuhuri jelani kwa wafungwa wenzake na askari wa jela.
Kuongezea, anakuza ujasiri wake katika maishani yake ya jela.
Anatoka gerezani kama mtu aliyefanikiwa jelani na jijini huku akihusisha umaarufu wake kwa kuwa jambazi kabambe.
Jela linakuwa jiji kwa Zollo.
Kwake hakuna mpaka kati ya jela na jiji.
----Formal English----
My Life in Prison
This book is written by John Kiriamiti, who was born on February 14, 1950 in Murang'a, Kenya. He was arrested and imprisoned for twenty years, where he wrote some of his popular novels. The novel begins with Jack Zollo arriving at the Nairobi law courts where he is charged and sentenced to twenty years in prison and forty-eight cane strokes. Jack is deeply upset by the prison term so much so that he turns violent, where he starts fighting the wardens and his fellow inmates. He fakes insanity, gets admitted to a mental institution, due to his state of madness, and, thereafter, he escapes from the Mathare Mental Hospital. His freedom, however, lasts for only a few hours before he is apprehended and taken back to prison. This does not break Jack Zollo as he still remains strong in his spirit and tries to survive the harsh conditions in jail, where he eats only one potato each day. In prison, Zollo tells of his adventures, how he was constantly at war with the agents of the state and how he conquered the city.
In the city, he has to constantly flee from the agents of law and order in order for him to avoid prison. Zollo seems to celebrate a life that is well led and one that he is determined to continue living with in prison against all odds. In fact, Zollo gains popularity in prison both with his fellow inmates and the prison authorities, and he equally maintains his heroic position throughout his life in prison. Zollo comes out as a person who has had his privileges in prison, and in the city, owing to his reputation as a successful criminal. Prison becomes Zollo's city and to him, there is no boundary between prison and the city.
---------------------------
Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Learn Swahili | SwahiliPod101.comBy SwahiliPod101.com

  • 4.4
  • 4.4
  • 4.4
  • 4.4
  • 4.4

4.4

39 ratings


More shows like Learn Swahili | SwahiliPod101.com

View all
This American Life by This American Life

This American Life

90,958 Listeners

Global News Podcast by BBC World Service

Global News Podcast

7,589 Listeners

The Read by Loud Speakers Network

The Read

27,362 Listeners

Learn Spanish | SpanishPod101.com by SpanishPod101.com

Learn Spanish | SpanishPod101.com

669 Listeners

Learn Italian | ItalianPod101.com by ItalianPod101.com

Learn Italian | ItalianPod101.com

421 Listeners

Learn Japanese | JapanesePod101.com (Audio) by JapanesePod101.com

Learn Japanese | JapanesePod101.com (Audio)

636 Listeners

Learn German | GermanPod101.com by GermanPod101.com

Learn German | GermanPod101.com

405 Listeners

Learn Korean | KoreanClass101.com by KoreanClass101.com

Learn Korean | KoreanClass101.com

283 Listeners

Learn French | FrenchPod101.com by FrenchPod101.com

Learn French | FrenchPod101.com

383 Listeners

Learn Arabic | ArabicPod101.com by ArabicPod101.com

Learn Arabic | ArabicPod101.com

165 Listeners

Learn Portuguese | PortuguesePod101.com by PortuguesePod101.com

Learn Portuguese | PortuguesePod101.com

119 Listeners

Learn English | EnglishClass101.com by EnglishClass101.com

Learn English | EnglishClass101.com

831 Listeners

Learn Dutch | DutchPod101.com by DutchPod101.com

Learn Dutch | DutchPod101.com

90 Listeners

Science Vs by Spotify Studios

Science Vs

12,223 Listeners

The Daily by The New York Times

The Daily

112,238 Listeners

Up First from NPR by NPR

Up First from NPR

56,524 Listeners

マユリカのうなげろりん!! by ラジオ関西

マユリカのうなげろりん!!

112 Listeners

What Now? with Trevor Noah by Trevor Noah

What Now? with Trevor Noah

4,242 Listeners

LSN: Swahili made easy ™ Podcast by Karen W. Stringer Ph.D.

LSN: Swahili made easy ™ Podcast

7 Listeners