Voice Of Philip Miyawa

BEI RAHISI YA MAFUTA TANZANIA YAATHIRI BIASHARA HIYO MIGORI


Listen Later

Baada ya bei ya mafuta kupanda hapa nchini, wakaazi wa kaunti ya Migori inayopakana na Taifa la Tanzania sasa wameamua kuvuka mpaka hadi taifa hilo jirani kununua mafuta hiyo kwa bei nafuu jambo linalosemekana kuathiri pakubwa biashara ya mafuta katika county hiyo.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Voice Of Philip MiyawaBy Philip Miyawa