Namshukuru sana rafiki yangu Nkonya Maduhu (Francis CEO) kukubali wito wa kufanya nae Podcast ili kuelezea zaidi usalama katika hii biashara, aina gani ya broker umtumie na vigezo gani vya kuangalia. Je ukitaka kufungua kampuni ya Forex Afrika Mashariki vitu gani uangalie na masuala ya insurance katika kampuni na wawekezaji wako.