Sepetuko

Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa


Listen Later

Bunge la Kitaifa linaanza kuwapiga msasa Mawaziri walioteuliwa na Rais William Ruto, katika Baraza jipya alilotangaza. Hii ni fursa adimu kwa Bunge kutekeleza wajibu wake wa Kikatiba na kuonesha kuwa ni taasisi huru na inayojisimamia bila kushurutishwa na Serikali tendaji. Hii ni fursa ya Bunge kusafisha jina lake ambalo limekuwa si lolote la kujivunia.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SepetukoBy Standard Media