Faith Touch with Rev. Christine Mlingi

CHUKI


Listen Later

Chuki ni moja ya sababu za ubaya na dhambi za kila aina. Kaini alikuwa mwanadamu wa kwanza kuua, na sababu yake ilikuwa ni chuki dhidi ya ndugu yake. Neno la Mungu linasema "kila amchukiaye ndugu yake ni mwuaji ... (1 Yohana 3:15) na kwamba huwezi kumpenda Mungu wakati unamchukia ndugu yako (1 Yohana 4:20)

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Faith Touch with Rev. Christine MlingiBy Rev. Christine Mlingi