
Sign up to save your podcasts
Or


TCRA imepata nafasi ya kujadiliana na Nuzulack Dausen, ambaye ni mwandishi wa habari mwenye tuzo nyingi kutoka Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Nukta Africa na Nukta Habari, akibobea katika ripoti za biashara, takwimu, na teknolojia. Yeye pia ni Mwandishi wa Thomson Reuters nchini Tanzania na mhadhiri wa Uandishi wa Habari za Takwimu na Fedha katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ambapo alipata Shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Umma.
Hapa tutafahamu namna ya kutambua taarifa feki, vyanzo vyake, na namna ya kuthibitisha taarifa na vyanzo vyake. Katika kipindi hiki, tutazungumza pia kuhusu namna ya kutambua vyanzo rasmi mtandaoni.
Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]
#NiRahisiSana!
By Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)TCRA imepata nafasi ya kujadiliana na Nuzulack Dausen, ambaye ni mwandishi wa habari mwenye tuzo nyingi kutoka Tanzania na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Nukta Africa na Nukta Habari, akibobea katika ripoti za biashara, takwimu, na teknolojia. Yeye pia ni Mwandishi wa Thomson Reuters nchini Tanzania na mhadhiri wa Uandishi wa Habari za Takwimu na Fedha katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ambapo alipata Shahada ya Uzamili ya Mawasiliano ya Umma.
Hapa tutafahamu namna ya kutambua taarifa feki, vyanzo vyake, na namna ya kuthibitisha taarifa na vyanzo vyake. Katika kipindi hiki, tutazungumza pia kuhusu namna ya kutambua vyanzo rasmi mtandaoni.
Kwa maoni na mapendekezo, tafadhali wasiliana nasi kupitia 0800008272 au tuandikie [email protected]
#NiRahisiSana!