Acky Talks Podcast

EPISODE 18 - CHAMA AONGEZA MKATABA SIMBA, ISSUE YA SVEN


Listen Later

Sakata la Chama lafika ukingoni baada ya kufikia maamuzi ya kuongeza mkataba mpya akiwa na klabu yake ya Simba, sasa zile kelele za kuhamia upande wa pili zimekwisha, sikiliza hadi mwisho ufahamu mengine mengi juu ya hatma ya aliyekua kocha wao SVEN.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Acky Talks PodcastBy Aucland Mudu