HabariTech

Facial Recognition: Inakuja na Maajabu Gani?


Listen Later

Kwa miaka mingi tumeona Facial Recognition ikitumika katika movies na tukatamani sana kuona namna inavyofanya kazi katika uhalisia. Wakati tukitamani sana kuona God's eye ya Fast and Furious kuwa ya kweli tayari kuna tech za facial recognition zinatumika duniani. Furaha ipo kwa mamlaka zinazohusika na kukaa na data zinakusanywa hapa, lakini kwa wananchi ni shida. Hiyo ni kwa sababu inawanyima watu uhuru wao wa faragha.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

HabariTechBy HabariTech : Mambo Wasiyokwambia Kuhusu Teknolojia