HabariTech

Google kubadili icon ya HTTPS kwa sababu imepoteza uhalisia wake


Listen Later

Mwanzoni mwa miaka ya 2010s kufuli iliyofungwa ilianza kutumika kuonyesha kwamba website ziko salama. Miaka ya sasa hivi alama hii imeonekana kupoteza thamani yake kwa kuwa hata website zenye malicious code zinaonekana kutumia alama hii. Hivyo google wameamua kuja na utatuzi mpya wa tatizo hili.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

HabariTechBy HabariTech : Mambo Wasiyokwambia Kuhusu Teknolojia