Sepetuko

Heshimu Wanahabari na Taaluma ya Uanahabari


Listen Later

Maandamano yaliyofanywa na wanahabari nchini hayashinikizi lolote nje ya Katiba ya nchi. Yanashinikiza tu taaluma ya uanahabari kuheshimiwa na haki za wanahabari kulindwa kama ilivyo katika sheria za nchi. Wanahabari sio wahalifu, wao ni mwito wa kuitumikia nchi na wananchi wake.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SepetukoBy Standard Media