Ibada ni kitu mhimu sana katika maisha yote ya mwanadamu, tunapofanya Ibada tunatakiwa kuondoa mambo yote ambayo yanaweza kuharibu tusijifunze au yanayozuia Mungu kufanya matengenezo ya mioyo yeti na nafsi zetu. Barikiwa. Pastor Biseko Kimasa
Ibada ni kitu mhimu sana katika maisha yote ya mwanadamu, tunapofanya Ibada tunatakiwa kuondoa mambo yote ambayo yanaweza kuharibu tusijifunze au yanayozuia Mungu kufanya matengenezo ya mioyo yeti na nafsi zetu. Barikiwa. Pastor Biseko Kimasa