Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!
-------Lesson Dialog-------
----Formal ----
Mark: Habari, hii ni kampuni ya manyumba ya Lib?
Maria: Ndivyo. Nikusaidie vipi?
Mark: Hasa ni ombi. Mbeleni, nilitarajia kuishi kwa siku tatu.
Maria: Unataka kuongeza masiku?
Mark: Ndio, hadi mwisho wa wiki hii.
Maria: Naelewa. Hivyo basi unahitaji kuongeza pesa kwa zile ulizolipa hapo mbeleni.
Mark: Najua.
Maria: Kuna jambo lolote lingine naweza kukusaidia?
Mark: Ndio, tafadhali. Tunaweza badilishiwa taulo na chumba chetu kusafishwa?
Maria: Sawa. Hiyo itafanywa leo alasiri.
Mark: Asante.
----Formal English----
Mark: Hello, is this the Lib Accommodations company?
Maria: Yes, how can I help you?
Mark: It's actually a request. Initially, I had intended to stay for three days.
Maria: So, you want to extend your stay?
Mark: Right, until the end of this week.
Maria: I see. Then you will be required to add some money to the amount you paid earlier.
Mark: I understand.
Maria: Is there anything else I can do for you?
Mark: Yes, please. Can we have our towels changed and our room cleaned?
Maria: Okay. That will be done this afternoon.
Mark: Thank you.
---------------------------
Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!