Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!
-------Lesson Dialog-------
----Formal ----
Maria: Nataka kununua simu lakini sijui ni modeli ipi nzuri.
Frank: Nakubaliana nawewe. Kuna modeli nyingi kwenye soko ambazo ni nzuri.
Maria: Hilo ndilo shida langu kubwa.
Frank: Je, unadhania nini kuhusu iphone 6 na Samsung Galaxy S5?
Maria: Nadhania zote ni nzuri lakini gani bora zaidi?
Frank: Samsung inaufahamu na umbo kubwa kushinda Iphone 6. Pia inazinda maji.
Maria: Je, na iphone 6?
Frank: Ina vipengele vingine kama Samsung isipokuwa ni ndogo na haizindi maji.
Maria: Samsung inaonekena bora.
Frank: Hivyo divyo tunavyodhania, lakini inadumu kwa muda mfupi ukilinganishwa na iphone 6.
Maria: Mbona?
Frank: Umbo wa Samsung ni ya plastiki ilhali ya iphone ni aluminiam.
Maria: Nimelipenda Samsung tayari.
----Formal English----
Maria: I want to buy a phone but I wonder which is the best model.
Frank: I agree with you. There are so many models in the market, most of which look good.
Maria: And that's my biggest problem.
Frank: What do you think about the iPhone 6 or Samsung Galaxy S5?
Maria: I guess they’re both good, but which is better?
Frank: Samsung has better features than the iPhone 6. It’s also water resistant.
Maria: What about the iPhone 6?
Frank: It has some similar features as the Samsung, but it's small in size and not water resistant.
Maria: Samsung looks good.
Frank: Sounds like it, but it seems to have a shorter lifespan than the iPhone.
Maria: Why is that so?
Frank: The Samsung's main body is plastic, whereas the iPhone is aluminum.
Maria: I like Samsung already.
---------------------------
Learn Swahili with SwahiliPod101!
Don't forget to stop by SwahiliPod101.com for more great Swahili Language Learning Resources!