Elewa nini maana ya MZIMU na MIZUKA, niroho za watu waliokwisha fariki. Watu hao kama Walikufa haliyakuwa ni wema basi roho zao huitwa MZIMU, na kama watu hao walikufa haliyakuwa ni watenda mabaya basi rohozao ni MIZUKA
Elewa nini maana ya MZIMU na MIZUKA, niroho za watu waliokwisha fariki. Watu hao kama Walikufa haliyakuwa ni wema basi roho zao huitwa MZIMU, na kama watu hao walikufa haliyakuwa ni watenda mabaya basi rohozao ni MIZUKA