Sepetuko

Kamwe tusiruhusu wahuni kurejea katika mitaa yetu, na siasa zetu.


Listen Later

Maandamano dhidi ya serikali yameingiliwa na wahuni ambao nia yao ni kupora, kujeruhi na hata kuua na kuharibu. Jumatano wiki hii, wahuni pia wametatiza mkutano wa Azimio, wakisababisha purukushani na majeraha kwa wanahabari.
Ni wakati wahuni hawa na wafadhili wao wakabiliwe vilivyo.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SepetukoBy Standard Media