TCRA Tanzania

Kanuni Mpya za Usajili wa Laini za Simu, 2023


Listen Later

Yapi mabadiliko ya kanuni hizi?, Vipi vitu muhimu vya kuzingatia?, Upi utaratibu wa Usajili wa laini za simu kwa watoto? Je mtu anapofarika utaratibu upi hufuatwa?

Haya na mengine mengi yameongelewa kwenye kipindi maalum kinacho angazia Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta Kuhusu Usajili wa Laini za Simu, 2023.


#ElimukwaUmma

#MawasilianoKwaMaendeleo

#tcrapodcast

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

TCRA TanzaniaBy TCRA Tanzania