
Sign up to save your podcasts
Or


Usiabudu kwa hofu kama vile kwa wizi wizi. Mungu wetu amehakikisha kwamba tunakuwa salama ili tumuabudu bila hofu. Tena kila ukifanyacho kifanye kama kwa Bwana, ni ibada yako kwa Bwana. Usifanye kwa woga. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriUsiabudu kwa hofu kama vile kwa wizi wizi. Mungu wetu amehakikisha kwamba tunakuwa salama ili tumuabudu bila hofu. Tena kila ukifanyacho kifanye kama kwa Bwana, ni ibada yako kwa Bwana. Usifanye kwa woga. Biblia inasema usiogope.