PWANIFM PODCAST

MADHARA YA UVUVI HARAMU


Listen Later

Leo ni siku ya wanyamapori duniani, siku iliyotengwa na shirika la umoja ya mataifa kufuatia kuwekwa kwa Mkataba wa Biashara ya Kimataifa ya Viumbe na Mimea iliyo katika hatari ya kutoweka, CITES, mnamo mwaka 1973. Kauli mbio ya mwaka huu ikiwa ushiriano kwa ajili ya Uhifadhi wa Wanyamapori. Mwanahabari wetu Dalila Athman alizuru hifadhi ya bahari ya Kisite Mpunguti, eneo la Shimoni, kaunti ya Kwale na kutuandalia makala haya:
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

PWANIFM PODCASTBy PWANIFM PODCASTS