
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 10/3 ni Jumapili ya 4 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza, tunafundisha Yohana 3:14–21 pamoja na mambo makuu yake, upendo wa Mungu na imani.
Katika sehemu ya pili tutajadili wazo kuu la siku, yaani, neema ya mbinguni kwa kufikira mafundisho ya Biblia nzima pamoja na changamoto za kupokea au kuelewa. Sehemu ya tatu itakuwa juu ya Waefeso 2:1–10 pamoja na kidogo katika Zab 137 na 2 Nyakati 36.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 10/3 ni Jumapili ya 4 wakati wa Kwaresima, ukurasa 91 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza, tunafundisha Yohana 3:14–21 pamoja na mambo makuu yake, upendo wa Mungu na imani.
Katika sehemu ya pili tutajadili wazo kuu la siku, yaani, neema ya mbinguni kwa kufikira mafundisho ya Biblia nzima pamoja na changamoto za kupokea au kuelewa. Sehemu ya tatu itakuwa juu ya Waefeso 2:1–10 pamoja na kidogo katika Zab 137 na 2 Nyakati 36.
Karibu!