
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 12/5 ni Jumapili baada ya kupaa, ukurasa 113 katika kitabu cha sala cha kanisa la Anglikana.
Tunafundisha kifungu cha Injili, Yohana 17:1–11 na mambo yaliyomo kama utukufu wa Yesu, ufunuo juu ya Mungu na sala ya Yesu kwa umoja na ulinzi wetu. Halafu na tunafundisha juu yaa Roho Mtakatifu na jinsi ambavyo kwa huyu Roho Mungu anakamilisha kazi ya wokovu iliyoanza kwa huduma ya Yesu.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 12/5 ni Jumapili baada ya kupaa, ukurasa 113 katika kitabu cha sala cha kanisa la Anglikana.
Tunafundisha kifungu cha Injili, Yohana 17:1–11 na mambo yaliyomo kama utukufu wa Yesu, ufunuo juu ya Mungu na sala ya Yesu kwa umoja na ulinzi wetu. Halafu na tunafundisha juu yaa Roho Mtakatifu na jinsi ambavyo kwa huyu Roho Mungu anakamilisha kazi ya wokovu iliyoanza kwa huduma ya Yesu.
Karibu!