
Sign up to save your podcasts
Or


Karibu kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Mathayo 16:13–20 na kanisa la Kristo ambalo aliahidi kulijenga.
Tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ni ya Jumapili tarehe 15/9.
Karibu!
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Maiki.
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaKaribu kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Mathayo 16:13–20 na kanisa la Kristo ambalo aliahidi kulijenga.
Tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ni ya Jumapili tarehe 15/9.
Karibu!
Mchungaji Mmasa na Mwalimu Maiki.