Wahubiri wa Neno Pod

Mafundisho ya Biblia: 15/9 Kanisa la Kristo || Mathayo 16:13–20


Listen Later

Karibu kusikiliza mafundisho ya Biblia katika Mathayo 16:13–20 na kanisa la Kristo ambalo aliahidi kulijenga.

Tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.

Wiki hii ni ya Jumapili tarehe 15/9.

Karibu!

Mchungaji Mmasa na Mwalimu Maiki.



This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wahubiri wa Neno PodBy Mwalimu Mike, Mchungaji Mmasa