
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 17/3 ni Jumapili ya 5 wakati wa Kwaresima, ukurasa 92 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafafanua kifungu cha Yohana 11 juu ya ufufuo wa Lazaro, na maana yake kwa Yesu na tutatafakari zaidi jambo la ufufuo na wafu na kufiwa. Podi ifuatayo ni sehemu ya pili na hapo tutafundisha juu ya wazo kuu la Ahadi za Mungu, kifungu cha Ebr 4:1–11, somo la nabii Ezekieli 37, na Zaburi 116.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 17/3 ni Jumapili ya 5 wakati wa Kwaresima, ukurasa 92 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafafanua kifungu cha Yohana 11 juu ya ufufuo wa Lazaro, na maana yake kwa Yesu na tutatafakari zaidi jambo la ufufuo na wafu na kufiwa. Podi ifuatayo ni sehemu ya pili na hapo tutafundisha juu ya wazo kuu la Ahadi za Mungu, kifungu cha Ebr 4:1–11, somo la nabii Ezekieli 37, na Zaburi 116.
Karibu!