
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 21/4 ni Jumapili ya 4 baada ya Pasaka, ukurasa 111 katika kitabu cha sala.
Katika podi hii tunafundisha juu ya neema ya Mungu kuwafunulia watoto wachunga mambo ya wokovu, na jambo la utatu ambalo Yesu anatufunuliwa kwa kuwa ni Mungu mwenyewe aliyetwaa ubinadamu wetu. Pia tunaona umuhimu wa kumjua Yesu na kujifunza kwake, kama anavyotukaribisha, kuja kwake na atatupumzisha.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 21/4 ni Jumapili ya 4 baada ya Pasaka, ukurasa 111 katika kitabu cha sala.
Katika podi hii tunafundisha juu ya neema ya Mungu kuwafunulia watoto wachunga mambo ya wokovu, na jambo la utatu ambalo Yesu anatufunuliwa kwa kuwa ni Mungu mwenyewe aliyetwaa ubinadamu wetu. Pia tunaona umuhimu wa kumjua Yesu na kujifunza kwake, kama anavyotukaribisha, kuja kwake na atatupumzisha.
Karibu!