
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 24/3 ni Jumapili ya Mitende, ukurasa 93 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafundisha juu ya tukio la Yesu kuingia Yerusalemu kwa shangwe katika Marko 11:1–10 na tunafafanua mawazo kadhaa katika somo la Injili ambalo ni Marko 14:32–15:41.
Sehemu ya pili, podi ifuatayo, inahusu Wazo Kuu la siku, Njia ya Msalaba, na masomo mengine, 1 Wakorintho 1:18–25, Zaburi 22, na Isaya 50:4–9.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 24/3 ni Jumapili ya Mitende, ukurasa 93 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo sehemu ya kwanza tunafundisha juu ya tukio la Yesu kuingia Yerusalemu kwa shangwe katika Marko 11:1–10 na tunafafanua mawazo kadhaa katika somo la Injili ambalo ni Marko 14:32–15:41.
Sehemu ya pili, podi ifuatayo, inahusu Wazo Kuu la siku, Njia ya Msalaba, na masomo mengine, 1 Wakorintho 1:18–25, Zaburi 22, na Isaya 50:4–9.
Karibu!