
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 7/4 ni Jumapili ya 1 baada ya Pasaka, ukurasa 109 katika kitabu cha sala.
Katika podi hii tunazungumza wazo la ushindi na namna ambavyo Yesu alishinda kwa kifo chake na ufufuo. Sisi twaweza kwa imani kushiriki na ushindi wake, na kupata wokovu, na uhuru, na uzima wa milele. Pia tunaangalia sehemu ya Injili, Yohana 20:24–31 na kufikiri jambo la imani kwa vile Tomaso alitaka kuona bali sisi hatuoni kwa macho. Yohana alisema aliandika ishara zile ile tupate kuamini kwa njia ya maandiko, yaani Biblia.
Karibu!
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 7/4 ni Jumapili ya 1 baada ya Pasaka, ukurasa 109 katika kitabu cha sala.
Katika podi hii tunazungumza wazo la ushindi na namna ambavyo Yesu alishinda kwa kifo chake na ufufuo. Sisi twaweza kwa imani kushiriki na ushindi wake, na kupata wokovu, na uhuru, na uzima wa milele. Pia tunaangalia sehemu ya Injili, Yohana 20:24–31 na kufikiri jambo la imani kwa vile Tomaso alitaka kuona bali sisi hatuoni kwa macho. Yohana alisema aliandika ishara zile ile tupate kuamini kwa njia ya maandiko, yaani Biblia.
Karibu!