Wahubiri wa Neno Pod

Mafundisho ya Biblia: JP 13/10 Pentekoste 21 | Luka 14:16–24 | Utayari wa Kuitika


Listen Later

Karibu tujifunze pamoja katika neno la Mungu. Katika kifungu hiki Yesu anatoa mfano wa ufalme kama karamu, na wengine walikataa mwaliko wa kuhudhuria. Hao watu walimkataa Yesu kuwa njia pekee ya wokovu. Lakini kwa kila atakayemwamini Yesu, hawatatahayarika kamwe.

Mwalimu Maiki.



This is a public episode. If you would like to discuss this with other subscribers or get access to bonus episodes, visit mwalimumike.substack.com
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Wahubiri wa Neno PodBy Mwalimu Mike, Mchungaji Mmasa