
Sign up to save your podcasts
Or


Mchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 11/2 ni Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima, ukurasa 88 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo podi tunafundisha somo la waraka, 1 Yohana 4:7–21, Zaburi 32, na somo la Agano la Kale: Hesabu 15:32–36. Somo la Injili na Wazo Kuu tulizifundisha katika sehemu ya kwanza, podi iliyotangulia.
Karibu.
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaMchungaji Mmasa na Mwalimu Mike tunafundisha Biblia katika masomo ya siku kwa Jumapili ijayo ili kuwasaidia watu wote na hasa watumishi katika maandilizi yao.
Wiki hii ya Jumapili tarehe 11/2 ni Jumapili ya 1 kabla ya Kwaresima, ukurasa 88 katika kitabu cha sala.
Kwenye hiyo podi tunafundisha somo la waraka, 1 Yohana 4:7–21, Zaburi 32, na somo la Agano la Kale: Hesabu 15:32–36. Somo la Injili na Wazo Kuu tulizifundisha katika sehemu ya kwanza, podi iliyotangulia.
Karibu.