Pasta Apalale Ause ana fundisha katika kanisa la International Evangelical Church.
Ana fundisha Kuusu Maombezi...
1Timotheo 2:1-3
Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;
2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.
3 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;
Una karibishwa kwaku tuandikia kwenye:
https://www.facebook.com/Fuata2017
Mafundisho kwenye:
https://www.youtube.com/channel/UCc6q8io4RMpvNLYvEhxqJQQ/videos