
Sign up to save your podcasts
Or


Mwanaharakati maarufu MARIA SARUNGI amenusurika kutekwa nchini Kenya baada ya WASIOJULIKANA kuripotiwa kuwemo nchini humo wakimuwinda mwanaharakati huyo. Taarifa zinaeleza kuwa Wasiojulikana hao walitumwa na SAMIA.Makala pia inagusia sintofahamu iliyoibuka baada ya Askofu Josephat Gwajima kujitokeza kwenye mkesha wa Mwaka Mpya uliofanyika kwenye Kanisalake la Ufufuo na Uzima
Video kamili ipo hapa https://youtu.be/UajMzIjU4Mg
By Evarist Chahali5
11 ratings
Mwanaharakati maarufu MARIA SARUNGI amenusurika kutekwa nchini Kenya baada ya WASIOJULIKANA kuripotiwa kuwemo nchini humo wakimuwinda mwanaharakati huyo. Taarifa zinaeleza kuwa Wasiojulikana hao walitumwa na SAMIA.Makala pia inagusia sintofahamu iliyoibuka baada ya Askofu Josephat Gwajima kujitokeza kwenye mkesha wa Mwaka Mpya uliofanyika kwenye Kanisalake la Ufufuo na Uzima
Video kamili ipo hapa https://youtu.be/UajMzIjU4Mg

194 Listeners