Asilimia kubwa ya maisha yetu yapotunayojifunza kupitia maisha yetu binafsi lakini kupitia maisha ya watu wanaotuzunguka kwa yale walioyapitia.
Mezani kwetu leo tumepiga stori na Marthin Kimanga ambae ameshuhudi namna alivyokuwa jambazi na kufanya matukio makubwa ya ujambazi na namna alivyojiingiza kwenye ushirikina ili kijilinda kwenye matukio waliyokuwa wanayafanya.
Karibu kusikiliza na tujifunze.