
Sign up to save your podcasts
Or


Wanafunzi wa chuo cha mafunzo ya matibabu kuko Kehancha walifanya mgomo na kususia masomo kwa siku mzima wakilalamikia kukosekana kwa huduma zinazotolewa na wafanyikazi wa vibaruwa katika chuo hicho.
By Philip MiyawaWanafunzi wa chuo cha mafunzo ya matibabu kuko Kehancha walifanya mgomo na kususia masomo kwa siku mzima wakilalamikia kukosekana kwa huduma zinazotolewa na wafanyikazi wa vibaruwa katika chuo hicho.