Sepetuko

Miili Tisa Kware Yazua Maswali Kuhusu Ufanisi wa Usalama


Listen Later

Tukio la kupatikana miili zaidi ya tisa eneo la Kware, Embakasi ni dhihirisho tosha la nchi ambayo taasisi zake za kiusalama hazifanyi kazi, zimefeli pakubwa. Iweje watu wauliwe na miili yao kutupwa bila NIS, DCI au Idara ya Polisi kuwa na ufahamu ya tukio hilo la kihalifu? Tunataka uwajibishwaji wa ofisi husika.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SepetukoBy Standard Media