SportsCast

Mikimbio ya Washambuliaji wa Simba SC


Listen Later

Bila shaka ulimsikia beki wa Mtibwa Sugar, Abdi Banda aliposema kwamba washambuliaji wa Simba ni rahisi kuwakaba. Je kauli hii inaukweli?

Clifford Sangai amekutana na Prosper Bartalomew chini ya mti ili kuangazia na kuchambua kwa undani mikimbio ya washambuliaji wa Simba yaani Kagere, Mugalu na Bocco

Usisite kushea na marafiki Episode hii

Pia unaweza kupakua majarida yetu BURE kuhusu AFCON:

https://sportscasttz.gumroad.com/l/stajt

https://sportscasttz.gumroad.com/l/jbxud

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

SportsCastBy Clifford Sangai