
Sign up to save your podcasts
Or


Wakati shida nyingi zimekusonga, changamoto za maisha ni kubwa sana kiasi cha kujiona mdogo sana mbele ya hayo yanayokukabili, kumbuka usijiangalie wewe bali muangalie Bwana aliyezifanya mbingu na nchi. Msaada wako u katika Bwana, Yeye afanyaye njia mahali pasipo na njia ndiyo awe kimbilio lako siku zote. Hapo hutaogopa kitu. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriWakati shida nyingi zimekusonga, changamoto za maisha ni kubwa sana kiasi cha kujiona mdogo sana mbele ya hayo yanayokukabili, kumbuka usijiangalie wewe bali muangalie Bwana aliyezifanya mbingu na nchi. Msaada wako u katika Bwana, Yeye afanyaye njia mahali pasipo na njia ndiyo awe kimbilio lako siku zote. Hapo hutaogopa kitu. Biblia inasema usiogope.