
Sign up to save your podcasts
Or


Tunapojitia nguvu katika Bwana kwa yale tunayopitia tunapaswa kufahamu kuwa maandiko yanasema Furaha ya Bwana ndiyo nguvu zetu. Tena imeandikwa Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini. Namna ya kuchota katika baraka za wokovu wetu ni kwa furaha. Usinunenue mpendwa wala kwenda katika huzuni kila wakati ukidhani huo ndiyo utakatifu. Usiogope bali furahi katika Bwana.
By Pastor MsafiriTunapojitia nguvu katika Bwana kwa yale tunayopitia tunapaswa kufahamu kuwa maandiko yanasema Furaha ya Bwana ndiyo nguvu zetu. Tena imeandikwa Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini. Namna ya kuchota katika baraka za wokovu wetu ni kwa furaha. Usinunenue mpendwa wala kwenda katika huzuni kila wakati ukidhani huo ndiyo utakatifu. Usiogope bali furahi katika Bwana.