
Sign up to save your podcasts
Or


Majira na nyakatitulizopo zimejaa mambo mengi ambayo yameitingisha dunia na kufanya mwanadamu kuishi kwa maswali mengi ambapo majibu ya wengi ni kama yameshikiliwa mahali. Wana wa Mungu, mambo hayapungui uzito, ila neno linasema atakaevumilia hadi mwisho huyo ataokoka. AGANO lililotuzaa, ndilo linalotushikilia hadi mwisho wetu, nguvu ya kusimama ipo katika kulijua na kumjua alietuzaa kwa gharama kubwa na kusimamia kwa uaminifu kila ambacho amesema. Mungu wetu ni muaminifu maira yote. Tukutane Ibadani.
By Youthly Christian ContentMajira na nyakatitulizopo zimejaa mambo mengi ambayo yameitingisha dunia na kufanya mwanadamu kuishi kwa maswali mengi ambapo majibu ya wengi ni kama yameshikiliwa mahali. Wana wa Mungu, mambo hayapungui uzito, ila neno linasema atakaevumilia hadi mwisho huyo ataokoka. AGANO lililotuzaa, ndilo linalotushikilia hadi mwisho wetu, nguvu ya kusimama ipo katika kulijua na kumjua alietuzaa kwa gharama kubwa na kusimamia kwa uaminifu kila ambacho amesema. Mungu wetu ni muaminifu maira yote. Tukutane Ibadani.

44 Listeners