Gumzo na Mwanaspoti

Nilitengwa Ethiopia; Silvanus Otema | Gumzo na Mwanaspoti Podcast


Listen Later

Aliyekuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya soka, Harambee Stars Silvanus Otema anasema alipitia wakati mgumu nchini Ethiopia baada ya kujiunga na klabu ya St. George.
Otema anasema alitengwa na wachezaji wa klabu hiyo kutokana na uzuri wake. Pata uhondo kamili katika Podcast hii.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Gumzo na MwanaspotiBy The Standard Group PLC