
Sign up to save your podcasts
Or


Unapomuweka Bwana Mungu kama nuru yako na ngome yako maishani mwako hauna haja ya kuogopa yeyote wala chochote. Huna haja ya kuogopa kwa sababu yeye Bwana anakuzunguka kukulinda, anakupatia mahitaji yako wewe na nyumba yako. Amani yako iwe ni ya Mungu wako katika Kristo Yesu. Usiogope.
By Pastor MsafiriUnapomuweka Bwana Mungu kama nuru yako na ngome yako maishani mwako hauna haja ya kuogopa yeyote wala chochote. Huna haja ya kuogopa kwa sababu yeye Bwana anakuzunguka kukulinda, anakupatia mahitaji yako wewe na nyumba yako. Amani yako iwe ni ya Mungu wako katika Kristo Yesu. Usiogope.