
Sign up to save your podcasts
Or


Hilo ni la kwanza katika mfululizo wa maswali ya msingi. Karibu kututumia maswali yako. Tutajitahidi kutoa majibu ya maswali muhimu na ya msingi kwa mujibu wa Biblia.
Swali hili linahusu jinsi ilivyo mauti na kama mfu aweza kuathiri maisha yetu, lakini hasa juu ya hukumu kwa sababu ya dhambi lakini pia na tumaini Mungu alilotupatia kwa ufufuo wa Yesu. Karibu tujifunze pamoja.
Mwalimu Mike. Mchungaji Mmasa.
By Mwalimu Mike, Mchungaji MmasaHilo ni la kwanza katika mfululizo wa maswali ya msingi. Karibu kututumia maswali yako. Tutajitahidi kutoa majibu ya maswali muhimu na ya msingi kwa mujibu wa Biblia.
Swali hili linahusu jinsi ilivyo mauti na kama mfu aweza kuathiri maisha yetu, lakini hasa juu ya hukumu kwa sababu ya dhambi lakini pia na tumaini Mungu alilotupatia kwa ufufuo wa Yesu. Karibu tujifunze pamoja.
Mwalimu Mike. Mchungaji Mmasa.