Siku yenyu ni Leo. Muliingojea nami sijachelewa. Ninajua mioyo yenyu. Jamii yenyu ninaijua. Nimeyaona machozi. Jinsi mulivyojitolea kunitumikia ata wakati wa majonzi mengi. Muliendelea kutembea nami na pia katika njia zangu. Nimewabariki na kuwafungulia njia zenyu zote. Hallelujah. Glory be to God.