Vijana na Mapenzi

Pesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi Podcast


Listen Later

Katika miaka ya hivi karibuni, jamii imekuwa ikiyafanya kipaumbele maslahi ya mtoto wa kike baada ya kukandamizwa kwa miaka mingi. Wengi sasa wamepata nafasi ya kusoma na hata kuajiriwa. Lakini kuna wanaoamini kwamba mwanamke anapopata kazi na kuwa na cheo katika jamii, mara nyingi hujawa kiburi. Suala hili tunaliangazia kwa kuhusisha kauli za wananchi vilevile kupata ushauri kuhusu masuala ya ndoa.
...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Vijana na MapenziBy The Standard Group PLC