Ushairi wa Mwanagenzi

Shairi: Ahadi Zitimizeni


Listen Later

Raia anapomchagua kiongozi wake, huwa na matumaini kuwa atamwelekeza kwa njia inayofaa. Iwapo atahujumu haki ya waliomchagua, raia huwa na ghadhabu. Hebu sikiliza shairi hili.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Ushairi wa MwanagenziBy Kimani wa Mbogo