Ushairi wa Mwanagenzi

Shairi: Twamkumbuka Profesa Walibora


Listen Later

Profesa Ken Walibora aliyefariki tarehe 10 Aprili 2020, atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika fasihi ya Kiswahili. Alikuwa mwandishi mashuhuri, mwalimu, na mshauri wa lugha ya Kiswahili. Sanaa yake ilikuwa na athari kubwa katika jamii na alikuwa akijitolea kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inapata hadhi yake Katika jamii.

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Ushairi wa MwanagenziBy Kimani wa Mbogo