
Sign up to save your podcasts
Or


Inapofika mahala maisha yako yanataka kukatishwa na shetani, au biashara yako inataka kufa, au kazini vita imeinuka ili kukukatisha, hapo unapaswa kukumbuka maandiko na kukiri kwamba "Sitakufa bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo ya Bwana". Kwa neno hili na imani yako katika Bwana Mungu wako ndani ya Kristo Yesu uwe hodari na usiogope. Biblia inasema usiogope.
By Pastor MsafiriInapofika mahala maisha yako yanataka kukatishwa na shetani, au biashara yako inataka kufa, au kazini vita imeinuka ili kukukatisha, hapo unapaswa kukumbuka maandiko na kukiri kwamba "Sitakufa bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo ya Bwana". Kwa neno hili na imani yako katika Bwana Mungu wako ndani ya Kristo Yesu uwe hodari na usiogope. Biblia inasema usiogope.