Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 10-1. Utangulizi Kwa Sura ya 10


Listen Later

Je, kuna watu ambao wanaifuata haki yao wenyewe huku wakiwa wanaiamini injili ya maji na Roho? Maandiko yanasema kuwa watu wa jinsi hiyo wasioiamini haki ya Mungu na badala yake wanaifuata haki yao wenyewe wanasimama kinyume na Mungu. Watu hawa watafanya nini?

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission