Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 12-1. Zifanye Upya Akili Zako Mbele za Mungu


Listen Later

“Ibada yenye maana” ni kitu gani? Imetafsiriwa kama “tendo la kiroho la ibada” katika Biblia ya Kiingereza ya (NIV), imetafsiriwa kama ambayo tunapaswa kumpatia Mungu. Kumpatia Mungu ibada yenye maana kuna maanisha ni kuitoa miili yetu kwa Mungu katika kuifanya kazi yake ya haki. Kwa kuwa tumeokolewa, basi tunahitaji kuitoa miili yetu na kukubaliwa na Mungu katika kuieneza injili ya haki. Ibada yenye maana ambayo tunapaswa kumpatia Mungu ni kuitoa miili yetu katika utakatifu na kumpatia Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission