Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 13-1. Ishi Kwa Ajili ya Haki ya Mungu


Listen Later

Ni lazima tuishi katika mipaka ya desturi za kijamii. Mungu alituamuru kuwaogopa na kuwaheshimu wale walio na mamlaka katika maisha yetu yote ya kimwili na kiroho. Mungu anatoa mamlaka kwa maofisa wa serikali kwa sababu maalumu na kwa hiyo hatupaswi kuwadharau. Ni lazima tuukumbuke msemo wa Paulo akisema, “Msiwiwe na mtu cho chote isipokuwa kupendana” (Warumi 13:8).

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission