
Sign up to save your podcasts
Or


Ni lazima tuishi katika mipaka ya desturi za kijamii. Mungu alituamuru kuwaogopa na kuwaheshimu wale walio na mamlaka katika maisha yetu yote ya kimwili na kiroho. Mungu anatoa mamlaka kwa maofisa wa serikali kwa sababu maalumu na kwa hiyo hatupaswi kuwadharau. Ni lazima tuukumbuke msemo wa Paulo akisema, “Msiwiwe na mtu cho chote isipokuwa kupendana” (Warumi 13:8).
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
By The New Life MissionNi lazima tuishi katika mipaka ya desturi za kijamii. Mungu alituamuru kuwaogopa na kuwaheshimu wale walio na mamlaka katika maisha yetu yote ya kimwili na kiroho. Mungu anatoa mamlaka kwa maofisa wa serikali kwa sababu maalumu na kwa hiyo hatupaswi kuwadharau. Ni lazima tuukumbuke msemo wa Paulo akisema, “Msiwiwe na mtu cho chote isipokuwa kupendana” (Warumi 13:8).
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35