Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 16-1. Salimianeni


Listen Later

Katika utangulizi wake, Mtume Paulo aliwaambia watakatifu waliokuwapo Roma na kwetu sisi kwamba tunapaswa kusalimiana. Je, ni nani tunayeweza kumsalimia kwa moyo wote katika Bwana katika kipindi hiki? Kwa kweli tunaweza kuwasalimia watumishi kwa furaha na waamini wanaolihubiri Neno la Mungu katika ulimwengu mzima. Tunaweza kuwa na ushirika na wale waliookoka kwa kuvisoma vitabu vya injili ya maji na Roho. Sisi pia tuna makanisa, waamini, na watumishi wa Mungu ambao tunaweza kusalimiana nao katika Kristo.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission