Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 8-12. Ni Nani Anayeweza Kudiriki Kusimama Kinyume Nasi? (Warumi 8:31-34)


Listen Later

Katika Warumi 8:31-34, Paulo anashuhudia juu ya upendo wa Kristo usioweza kutenganishwa na waamini kwa kufanya majumlisho ya injili ya maji na Roho na kisha kufikia hitimisho lake la mwisho. Kifungu hiki kinaelezea furaha kuu ya wokovu ambayo imefikiwa katika kiwango cha juu cha imani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission