Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)

SURA YA 8-6. Wale Waurithio Ufalme wa Mungu (Warumi 8:16-27)


Listen Later

Watu wote ambao wamesamehewa dhambi zao wanaamini katika injili ya maji na Roho na wana Roho Mtakatifu katika mioyo yao. Katika 1 Yohana 5:10 Biblia inasema, “Yeye amwaminiye Mwana wa Mungu anao huo ushuhuda ndani yake”. Yeye aliye na haki ya Mungu katika moyo wake anaye huyo Roho Mtakatifu ndani yake, na ni imani katika injili ya maji na Roho inayomfanya Roho Mtakatifu aweze kukaa milele katika moyo wa mtu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

...more
View all episodesView all episodes
Download on the App Store

Haki ya Mungu Inayofunuliwa Katika Kitabu cha Warumi - BWANA Wetu Aliyefanyika Kuwa Haki ya Mungu (II)By The New Life Mission